Bernard Morrison Mchezaji Mpya Ken Gold

Bernard Morrison Mchezaji Mpya Ken Gold

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya soka ya Kengold imemsajili mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana Bernard Morrison kama mchezaji huru kwa mkataba wa miezi sita.
FB_IMG_1735663421735.webp


Morrison ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiuguza majeraha wakati akiitumikia FAR Rabart ya Nchini Morocco, sasa yuko fiti kuwatumikia wachimba madini KenGold.

Morrison amewahi kuvitumikia vilabu vya Orlando Pirates, Club ya Young Africans, Simba Sc, As Vita na FAR Rabart.

Kengold wanafanya usajili wakuwasaidia kubaki Ligi kuu Tanzania bara.
 
Back
Top Bottom