ELIE Mpanzu Kuitumikia Simba lini?

ELIE Mpanzu Kuitumikia Simba lini?

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally ametoa ufafanuzi kuwa dirisha dogo la usajili la CAF litafunguliwa Januari 01 na kufungwa Januari 31 2025 wakati dirisha dogo la TFF likifunguliwa Disemba 16 na kufungwa Januari 15 2025.

Hivyo Mpanzu ataanza kuitumikia Simba Ligi Kuu ya NBC kuanzia wiki ijayo baada dirisha la TFF kufunguliwa lakini atalazimika kusubiri Januari 1 ili asajiliwe katika kikosi cha Simba kinachoshiriki kombe la Shirikisho.
 

Download PDF

  • images-35-18.jpeg.webp
    images-35-18.jpeg.webp
    15.5 KB · Views: 252
Back
Top Bottom