Haya hapa Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Polisi Tanzania 2025 Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana kujiunga na Jeshi kuwa wanatakiwa kuripoti Shule ya Polisi Moshi kuanzia tarehe 12/06/2025 hadi tarehe 14/06/2025 kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo.
Orodha ya vijana waliochaguliwa imeambatishwa kwenye tangazo hili.
Au kupitia kiunganishi hiki cha majina PDF.
Orodha ya vijana waliochaguliwa imeambatishwa kwenye tangazo hili.
Au kupitia kiunganishi hiki cha majina PDF.