Kitabu cha Somo la Ualimu

Kitabu cha Somo la Ualimu Chuo cha Tandala

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Kitabu hiki kimeandaliwa ili kumwezesha mkufunzi na mwanachuo wa ualimu ngazi ya cheti kuelewa mambo muhimu ya kufundisha na kujifunza. Kuandaliwa kwa muhtasari huu kunatokana na uamuzi wa serikali wa mwaka 2008 wa kuimarisha mafunzo ya ualimu ili kuwajengea walimu na wanafunzi ujuzi na uelewa wa kutosha katika somo la ualimu. Ili kutimiza azima hii ya serikali, muhtasari huu umeandaliwa ili kumwezesha mwanachuo kupata fursa ya kuelewa mambo muhimu nay a msingi kuhusu elimu na kazi ya ualimu.
Kitabu cha Somo la Ualimu

Muhtasari huu unachukuwa nafasi ya mihtasari ya masomo manne ya ualimu ya mwaka 2003 ambayo ni;
  • Misingi ya elimu
  • Mitaala na ufundishaji
  • Upimaji, tathimini na utafiti
  • Saikolojia ya elimu
 

Attachments

Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom