- Views: 21K
- Replies: 1
TAARIFA YA KUITWA KWENYE USAILI,
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa/kuitwa kwenye usaili Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anapenda kuwatangazia kuwa vijana waliomba ajira ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kupitia mfumo wa ajira ZIMAMOTO RECRUITMENT (ajira.zimamoto.go.tz), Usaili utafanyika kuanzia tarehe 15 Disemba, 2025 hadi tarehe 20 Disemba, 2025 2025 kuanzia saa 1:00 Asubuhi kwa kila kundi.
Waombaji waliomba ajira kwa elimu ya kidato cha nne usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 15 Disemba, 2025 saa 1:00 Asubuhi kwenye mikoa walioichagua wakati wa kutuma maombi.
Angalia hapa
Unatakiwa kuja na nyaraka halisi ulizotumia wakati wa kutuma maombi ya kazi, kama ifuatavyo:
Tafadhali kumbuka:
(a) Unakumbushwa kuvaa mavazi ambayo hayatazuia kukimbia.
(b) Tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii kwa taarifa zaidi kuhusu mchakato wa ajira na tarehe yako ya usaili (kwa waombaji wa Taaluma Maalum pekee).
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa/kuitwa kwenye usaili Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anapenda kuwatangazia kuwa vijana waliomba ajira ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kupitia mfumo wa ajira ZIMAMOTO RECRUITMENT (ajira.zimamoto.go.tz), Usaili utafanyika kuanzia tarehe 15 Disemba, 2025 hadi tarehe 20 Disemba, 2025 2025 kuanzia saa 1:00 Asubuhi kwa kila kundi.
Waombaji waliomba ajira kwa elimu ya kidato cha nne usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 15 Disemba, 2025 saa 1:00 Asubuhi kwenye mikoa walioichagua wakati wa kutuma maombi.
Angalia hapa
Unatakiwa kuja na nyaraka halisi ulizotumia wakati wa kutuma maombi ya kazi, kama ifuatavyo:
- Vyeti vya kitaaluma
- Vyeti vya taaluma
- Cheti cha kuzaliwa
- Kitambulisho cha Taifa (NIDA) au Namba ya NIDA (NIN)
- Barua ya utambulisho
- Barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono
Tafadhali kumbuka:
(a) Unakumbushwa kuvaa mavazi ambayo hayatazuia kukimbia.
(b) Tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii kwa taarifa zaidi kuhusu mchakato wa ajira na tarehe yako ya usaili (kwa waombaji wa Taaluma Maalum pekee).
Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Zimamoto Tanzania 2025-26 Disemba
Interview Zimamoto
Last edited: