Ligi Kuu Nbc PL Tanzania Inazidi Kupaa Tu Africa

Ligi Kuu Nbc PL Tanzania Inazidi Kupaa Tu Africa

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Maneno ya Kocha Mkuu wa zamani wa Wydad Casablanca, Esperance de Tunis, Raja Club Athletic na Timu ya Taifa ya Tunisia Faouzi Benzart.

"Sitoshangaa Mwaka huu katika orodha ya Ligi bora Afrika, Tanzania ikatushusha na kukaa juu yetu.. Ligi yetu ya Tunisia vilabu vingi vinazidi kuwa hoi kila panavyokucha wakati wenzetu wanapambana kusonga mbele"
Screenshot_20250107-105249~2.webp

"Zamani ilikuwa ni ngumu sana kuona Klabu za Afrika Mashariki vikifunga Klabu zetu ndani na nje lakini sasa imekuwa kawaida haswa vilabu vya Tanzania.. ni vile tu tunatembelea upepo wa Ubora wa Esperance de Tunis lakini nje ya hapo tumeshapoteana."
 
Back
Top Bottom