Majina ya Waliochaguliwa JKT 2025

Majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 Kidato cha Sita

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Haya hapa majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 Selection Mujibu wa Sheria, Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2025: Jeshi la kujenga Taifa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, anatoa wito kwa Vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2025, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa mwaka 2025.

Pakua orodha ya majina waliochaguliwa JKT hapa (Tangazo).

Majina angalia hapa.
Majina ya Waliochaguliwa JKT 2025
 
Last edited:
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom