Majina ya walioitwa kwenye Usaili kada za Ualimu Mkoa wa Dar na Dodoma 2025

Majina ya walioitwa kwenye Usaili kada za Ualimu Mkoa wa Dar na Dodoma 2025 Ajira za walimu

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Hii hapa orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili kada za Ualimu Mkoa wa Dar es salaam na Dodoma 2025 kufanya interview yaliyo tangazwa muda huu kutoka ajira portal kupitia sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma.
Majina ya walioitwa kwenye Usaili kada za Ualimu Mkoa wa Dar na Dodoma 2025

Majina ya wasailiwa wa kada za ualimu watakaofanyia usaili mkoa wa Dar es salaam na Dodoma

Usaili mkoa wa Dodoma

Kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika:
  • Chuo kikuu cha dar es salaam (udsm)
  • Chuo cha usafirishaji (nit)
  • Chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere
  • Chuo kikuu kishiriki cha elimu dsm (duce)
Usaili wa mahojiano utafanyika: jengo la ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ya kigamboni.

Usaili mkoa wa Dodoma

kwa wenye usaili wa kuandika, usaili huo utafanyika: chuo cha dodoma (udom)
usaili wa mahojiano utafanyika: ofisi za sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma (psrs), eneo la dr. asha rose migiro.

Bonnyeza hapa ku-download majina yote (PDF ina mikoa miwili)
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom