Matokeo ya Usaili TRA Tanzania kutolewa 26 Aprili, 2025 Angalia hapa

Matokeo ya Usaili TRA Tanzania kutolewa 26 Aprili, 2025 Angalia hapa 26-04-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Matokeo ya Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kutoa taarifa kwa watahiniwa wote waliofanya usaili wa kuandika wa TRA tarehe 29 na tarehe 30 Machi, 2025 kwamba, matokeo hayo yaliyotakiwa kutolewa leo tarehe 25 Aprili, 2025 sasa yatatolewa tarehe 26 Aprili, 2025. Tunawashukuru kwa subira.
Matokeo ya Usaili TRA Tanzania kutolewa 26 Aprili, 2025 Angalia hapa

“Pamoja Tunajenga Taifa Letu”
Imetolewa na;
MKURUGENZI WA RASILIMALIWATU NA UTAWALA
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom