Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Moshi Jonathan Kabengwe, ametangaza kuwa matokeo ya interview ya maandishi uliofanyika Machi 29 na 30, 2025 kwa waombaji wa nafasi za kazi TRA yatatangazwa tarehe 25 Aprili 2025. Matokeo hayo yatapatikana kupitia tovuti rasmi ya TRA (tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi NBAA. Bw. Kabengwe alitoa taarifa hii leo tarehe 2 Aprili 2025 jijini Dar es Salaam.
Waliochaguliwa kuendelea na usaili TRA, yatawekwa hapa.
Waliochaguliwa kuendelea na usaili TRA, yatawekwa hapa.
Nafasi za Kazi DCB Bank Tanzania
22-04-2025
Maswali ya Usaili Airport Attendant TAA
22-04-2025
Last edited by a moderator: