Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Kutangazwa 25 Aprili 2025

Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Kutangazwa 25 Aprili 2025 25-04-2025 Interview

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Moshi Jonathan Kabengwe, ametangaza kuwa matokeo ya interview ya maandishi uliofanyika Machi 29 na 30, 2025 kwa waombaji wa nafasi za kazi TRA yatatangazwa tarehe 25 Aprili 2025. Matokeo hayo yatapatikana kupitia tovuti rasmi ya TRA (tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi NBAA. Bw. Kabengwe alitoa taarifa hii leo tarehe 2 Aprili 2025 jijini Dar es Salaam.

Waliochaguliwa kuendelea na usaili TRA, yatawekwa hapa.
Matokeo ya Usaili wa Kuandika Ajira za TRA Kutangazwa 25 Aprili 2025
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom