Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA Mtakumbuka kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza nafasi za kazi zipatazo 1,596 mwanzoni mwa mwezi wa Februari 2025, ambapo ilipokea jumla ya maombi ya kazi 135,027 kati yao 113,023 waliitwa kwenye usaili wa mchujo wa kuandika baada ya kukidhi vigezo na usaili huo uliofanyika tarehe 29 na 30 Machi, 2025. Wasailiwa waliofanikiwa kwenye usaili wa kuandika waliitwa kwenye usaili wa mahojiano uliofanyika tarehe 12 hadi 14 Mei, 2025, ambapo wasailiwa 6,325 walifanya usaili huo.
Angalia hapa matokeo.
Angalia hapa matokeo.
Nafasi za Kazi ALAF Ltd Tanzania
27-05-2025
Nafasi za Kazi Umoja wa Mataifa Nchini Italy
30-05-2025