Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA

Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA Walioitwa kazini TRA

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA Mtakumbuka kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza nafasi za kazi zipatazo 1,596 mwanzoni mwa mwezi wa Februari 2025, ambapo ilipokea jumla ya maombi ya kazi 135,027 kati yao 113,023 waliitwa kwenye usaili wa mchujo wa kuandika baada ya kukidhi vigezo na usaili huo uliofanyika tarehe 29 na 30 Machi, 2025. Wasailiwa waliofanikiwa kwenye usaili wa kuandika waliitwa kwenye usaili wa mahojiano uliofanyika tarehe 12 hadi 14 Mei, 2025, ambapo wasailiwa 6,325 walifanya usaili huo.

Angalia hapa matokeo.
Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom