Mpango Wa Yanga Sc Kumtoa Baleke Kwa Mkopo Namungo Fc Umeshindikana

Mpango Wa Yanga Sc Kumtoa Baleke Kwa Mkopo Namungo Fc Umeshindikana

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Jean Othos Baleke amegoma kwenda kwa mkopo katika klabu ya Namungo Fc na anataka kulipwa chake aondoke Yanga...
FB_IMG_1736505844234.webp

Yanga hawana mpango na nyota huyo wa kimataifa wa DR Congo 🇨🇩 na kinachokwamisha kuvunja mkataba wake ni baadhi ya vipengele vilivyopo kwenye mkataba wake.
 
Back
Top Bottom