Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linautangazia umma kuwa zoezi la uhamisho wa wanafunzi wanaoendelea na masomo kwa ngazi ya Astashahada (Cheti) na Stashahada (Diploma) limeongezwa muda hadi tarehe 1 Mei, 2025.
Baraza linawasisitiza wanafunzi kuwasilisha maombi yao mapema kwa kuzingatia masharti na vigezo vya uhamisho vilivyowekwa ili kuepuka usumbufu.
Aidha,vyuo vinakumbushwa kutimiza wajibu wao kwa kushughulikia maombi yote ya uhamisho yatakayowasilishwa kabla ya tarehe 30 Aprili, 2025 na kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa
Baraza linawasisitiza wanafunzi kuwasilisha maombi yao mapema kwa kuzingatia masharti na vigezo vya uhamisho vilivyowekwa ili kuepuka usumbufu.
Aidha,vyuo vinakumbushwa kutimiza wajibu wao kwa kushughulikia maombi yote ya uhamisho yatakayowasilishwa kabla ya tarehe 30 Aprili, 2025 na kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa
Nafasi za Mafunzo Kozi ndefu India
23-04-2025