Muda wa Uhamisho Cheti na Diploma Waongezwa NACTVET

Muda wa Uhamisho Cheti na Diploma Waongezwa NACTVET 26-04-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,648
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linautangazia umma kuwa zoezi la uhamisho wa wanafunzi wanaoendelea na masomo kwa ngazi ya Astashahada (Cheti) na Stashahada (Diploma) limeongezwa muda hadi tarehe 1 Mei, 2025.
Muda wa Uhamisho Cheti na Diploma Waongezwa NACTVET

Baraza linawasisitiza wanafunzi kuwasilisha maombi yao mapema kwa kuzingatia masharti na vigezo vya uhamisho vilivyowekwa ili kuepuka usumbufu.

Aidha,vyuo vinakumbushwa kutimiza wajibu wao kwa kushughulikia maombi yote ya uhamisho yatakayowasilishwa kabla ya tarehe 30 Aprili, 2025 na kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa
 
Back
Top Bottom