Mudathir Yahya Ni Mali Pale Yanga SC

Mudathir Yahya Ni Mali Pale Yanga SC

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Yani kila ukimuangalia Mudathir Yahya unapata picha ya namna Kiungo Chuma anatakiwa kuwa, nazani ndio kiungo bora zaidi wa kati anaweza kuzuia njia za mipira ‘Ball paths’ kwa usahihi sana kutoka kwa mpinzani / actions.
FB_IMG_1736186065998.webp

Ongeza hapo always available uwanjani dah💪🏿 hata Kocha Sead Ramovic anaona jinsi anavyoshida mechi zake baada ya kumpa nafasi Kiungo Chuma ‘Mudathir Yahya’ , then kila mchezaji ambaye utampa acheze naye yeye atapiga nae bila kupunguza ufanisi : ni vile tu baadhi hawafatilii kazi yake uwanjani , lakini kuna kiungo bora bora ndani yake.

Angalia Khalid Aucho akicheza na kiungo mwingine tofauti na Mudathir Yahya ufanisi unakuwa mdogo zaidi , lakini ikiwa Partnership ya Khalid Aucho + Mudathir Yahya kuna bima nzuri sana kwenye kiungo cha Yanga Sc.
 
Back
Top Bottom