Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo.
FB_IMG_1735972450242.webp

“Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu anapopata dakika za kucheza ajitoe kwa kuonesha jitihada za hali ya juu kuisaidia timu.

“Wapinzani wetu hawajapata matokeo sio kwamba ni wabaya bado tunapaswa kuwaheshimu, ni mechi ngumu inayohitaji umakini, kwa jitihada zetu na nguvu zetu tunaweza kupata ushindi,”amesema Mzamiru.

Wekundu hao wa Msimbazi wako kundi A wakishika nafasi ya tatu baada ya kucheza michezo mitatu na kati ya hiyo, kushinda miwili, kupoteza mmoja wakiwa na pointi sita sawa na kinara Bravos ya Angola na CS Constatine ya Algeria nafasi ya pili kukiwa na utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa.
 
Back
Top Bottom