Nafasi za Kazi MO Finance Corporation Tanzania

Nafasi za Kazi MO Finance Corporation Tanzania 22-04-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi MO Finance Corporation Tanzania kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo 22/04/2025 kujaza ajira mppya hizi hapa chini.

MO Finance Corporation Ltd inatoa aina mbalimbali za mikopo, ikiwemo mikopo ya mtu binafsi kwa ajili ya kununua mali, mikopo ya vikundi vya Bodaboda kwa ajili ya mali, mikopo ya vikundi vya kuweka na kukopa (solidarity groups), mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wa kati (SMEs), mikopo ya kulipia bima, mikopo kwa wafanyakazi waajiriwa, pamoja na mikopo kwa ajili ya watumishi wa kampuni.

Tuma maombi hapa.
Nafasi za Kazi MO Finance Corporation Tanzania
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom