Nafasi za Kujitolea ZACCA Tanzania

Nafasi za Kujitolea ZACCA Tanzania 14-05-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kujitolea ZACCA Tanzania kwa Watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi katika ajira mpya hizi zilizotangazwa siku ya leo.
Nafasi za Kujitolea ZACCA Tanzania

Dirisha la Pili la Mkupuo wa pili wa Wafanyakazi wa kujitolea limefunguliwa.

Maombi yanapokelewa kwa nafasi zifuatazo.
1. Afisa Mazingira(5)
2. Afisa Tathmini na ufatiliaji.(2)
3. Afisa Bunifu na Ujasiriamali.(3)
4. Afisa Sheria.(1)
5. Afisa rekodi na kumbukumbu (2)
6. Afisa Maendeleo ya Jamii.(1)
7. Afisa Kilimo 1.

Maombi yote yaelekezwe kwa.

Afisa Tawala
Zanzibar Climate Change Alliance- ZACCA.
S.L.P 4232.
+255 627 349 720
JUMBI IPA,ZANZIBAR.

AU TUMA MAOMBI HAYO KWA BARUA PEPE ZIFUATAZO.

1. [email protected]
2. [email protected].
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom