NDANI YA SIMBA SC

NDANI YA SIMBA SC

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Ndani ya @SimbaSCTanzania ushindani ni mkubwa, usipoonyesha kitu basi Kuna mwenzako ataonyesha Zaidi na atachukua namba Yako.

Kiukweli changamoto ya kuipata namba Kikosi Cha Kwanza ni kubwa siyo rahisi.

Coach anachagua kulingana na ulichokionyesha mazoezini.

🗣️Aongea Okejepher
 

Download PDF

  • FB_IMG_1733163567315.webp
    FB_IMG_1733163567315.webp
    29.2 KB · Views: 185
Back
Top Bottom