Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TIE Interview Taasisi ya Elimu Tanzania December 2024

Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TIE Interview Taasisi ya Elimu Tanzania December 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,745
Wananchi, Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TIE Interview Taasisi ya Elimu Tanzania December 2024. Tunapenda kuwajulisha waombaji wa kazi ya Afisa Biashara na Masoko ambaowameorodheshwa hapo chini kuwa wanatakiwa kwenye usaili wa maandishi/kuandika(written Inteview) siku ya tarehe 16/12/2024 saa 2:00 Asubuhi. Usaili utafanyika katikaChuo cha Ustawi wa Jamii kilichopo Kijitonyama - Dar es Salaam.
Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili TIE Interview Taasisi ya Elimu Tanzania December 2024

Aidha kwa waombaji watakao faulu mtihani wa kuandika watafanya usaili wa ana kwaana (Oral Interview) tarehe 19/12/2024 katika ofisi za Taasisi ya Elimu Tanzania MakaoMakuu, Mikocheni- Dar es Salaam.

Pakua PDF hapa chini, kama una swali swali.
 

Download PDF

Back
Top Bottom