Sifa za kujiunga na Diploma ya Usimamizi wa Kumbukumbu, Nyaraka, na Taarifa Chuo cha LGTI

Sifa za kujiunga na Diploma ya Usimamizi wa Kumbukumbu, Nyaraka, na Taarifa Chuo cha LGTI Ada za Vigezo

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Sifa za kujiunga na Diploma ya Usimamizi wa Kumbukumbu, Nyaraka, na Taarifa Chuo cha LGTI Hombolo Local Government Training Institute Hombolo Chuo cha Serikali za Mitaa.
Sifa za kujiunga na Diploma ya Usimamizi wa Kumbukumbu, Nyaraka, na Taarifa Chuo cha LGTI

Mahitaji ya Kujiunga: Wenye cheti cha kidato cha nne (CSEE) na alama angalau nne za kufaulu kwenye masomo yasiyo ya kidini.

Muda wa Programu: Miaka 3.

Uwezo wa Kupokea: Wanafunzi 350.

Ada ya Masomo: Tsh. 915,000/= kwa wazawa, USD 1,200/= kwa wageni.

Mahitaji Mbadala: Wenye Cheti cha Ufundi (NTA Level 4) katika Teknolojia ya Habari (IT), Usimamizi wa Kumbukumbu, Sayansi ya Maktaba na Habari, Uandishi wa Habari, Sekretarieti, au Elimu AU wenye cheti cha kidato cha sita (ACSEE) na alama moja kuu (Principal) na moja ya nyongeza (Subsidiary).

Muda wa Programu: Miaka 2.

Kwa maelezo zaidi tembelea
 
Back
Top Bottom