TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 Ajira Portal

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Kutokana na upotoshaji unaoendelea kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii kuhusu mchakato wa ajira za walimu unaoendelea katika Mikoa yote nchini, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeona upo umuhimu wa kutoa ufafanuzi juu ya suala hili.

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa kama sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma, kifungu cha (4.2)(ii)(iii) kinachoelekeza kuwa:
  • Ajira za ushindani zifanyike katika madaraja ya kuingilia kwenye miundo ya utumishi
  • Kiundwe chombo cha ajira katika Utumishi wa Umma kitakachokuwa kinashughulikia na kusimamia upatikanaji wa wataalamu mbalimbali.
Katika kuwezesha utekelezaji wa Sera hii, Kifungu cha 29 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298, kinaelekeza kuwepo kwa chombo maalumu cha kushughulikia mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma. Kanuni za Uendeshaji wa Shughuli za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma za Mwaka 2021 zilizotolewa.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 -1.webp

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 -3

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 -4.webp

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 -5.webp

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MCHAKATO WA AJIRA ZA UALIMU KATIKA UTUMISHI WA UMMA 2025 -6.webp
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom