TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 18-01-2026

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 18-01-2026 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Haya hapa majina ya walioitwa kazini Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 16-01-2025 na tarehe 22-12-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

Pakua PDF hapa.
1768750099880.webp
 
Hongereni kwa wote mnaopata kazi mie nilishakata tamaa tangu 2015 sioni matumaini yoyote japo bado naendelea kuhudhuria usaili kuna muda nasema labda bado Mungu hajaamua kunipa kuna wakati nakata tamaa
 
  • Like
Reactions: Sia
Back
Top Bottom