HILI HAPA TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 21-02-2025 UTUMISHI NA AJIRA PORTAL
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini leo, Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 09-11-2024 na tarehe 17-01-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Bonyeza hapa chini Ku-download PDF 2 ya majina
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini leo, Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 09-11-2024 na tarehe 17-01-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Bonyeza hapa chini Ku-download PDF 2 ya majina
Nafasi za Kazi CDTF Tanzania
Ajira Mpya 2025
Nafasi za Kazi UNFPA Dar Es Salaam
Ajira Mpya 2025
Attachments
Last edited: