TANGAZO LA KUITWA KAZINI WIZARA YA UJENZI NA WIZARA YA AFYA 12-02-2025 Utumishi

TANGAZO LA KUITWA KAZINI WIZARA YA UJENZI NA WIZARA YA AFYA 12-02-2025 Utumishi Ajira Portal

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Orodha ya majina ya walioitwa kazini wizara ya ujenzi na wizara ya Afya leo. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2024 na tarehe 08-01-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
 TANGAZO LA KUITWA KAZINI WIZARA YA UJENZI NA WIZARA YA AFYA 12-02-2025


DOWNLOAD PDF HAPA
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom