TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA 05-09-2025

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA 05-09-2025 AJIRA PORTAL

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kwa cheo cha Mwandishi Mwendesha ofisi Daraja la II na Dereva Daraja la II na kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15/09/2025 hadi 16/09/2025 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Pakua PDF hapa
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA 05-09-2025
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom