Hili hapa tangazo la kuripoti shule ya Polisi Moshi kwa Vijana waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi Tanzania 2025 Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi Tanzania kuwa wanatakiwa kuanzia tarehe 12/06/2025 hadi tarehe 14/06/2025 kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo.
Vijana waliofanyiwa usaili Dar es Salaam kwenye Vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Polisi wataripoti jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa Road tarehe 12/06/2025 saa 12.00 asubuhi kwa ajili ya safari ya kwenda Shule ya Polisi Moshi.
Pakua majina ya waliochaguliwa polisi hapa.
Angalia orodha ya majina walioitwa au waliochaguliwa jeshi la polisi kupitia kiunganishi cha tovuti hapa.
Vijana waliofanyiwa usaili Dar es Salaam kwenye Vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Polisi wataripoti jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa Road tarehe 12/06/2025 saa 12.00 asubuhi kwa ajili ya safari ya kwenda Shule ya Polisi Moshi.
Pakua majina ya waliochaguliwa polisi hapa.
Angalia orodha ya majina walioitwa au waliochaguliwa jeshi la polisi kupitia kiunganishi cha tovuti hapa.
Majina ya Waliochaguliwa Polisi 2025
Walioitwa Polisi Tan
Haya hapa Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Polisi Tanzania 2025
Walioitwa Polisi Tan