Kampuni ya Ndege Tanzania inapenda kuwataarifu wasailiwa wote waliofanya usaili wa mchujo tarehe 31 Januari, 2026 katika Kada ya Afisa Manunuzi Msaidizi (Procurement Assitant II) kuwa matokeo ya usaili yametoka na kwamba usaili wa pili utafanyika tarehe 3 Februari, 2026 Ofisi ya Kampuni ya Ndege Tanzania Makao Makuu (ATC House) – Posta, Dar es Salaam Tanzania kuanzia saa 8:00 mchana.
Pakua PDF hapa.
Pakua PDF hapa.