Kampuni ya Ndege Tanzania inapenda kuwataarifu wasailiwa wote waliofanya usaili wa mchujo tarehe 31 Januari, 2026 katika kada mbalimbali kuwa matokeo ya usaili yametoka na kwamba usaili wa vitendo na Mahojiano utafanyika kuanzia tarehe 3 Februari, 2026 hadi 6 Februari, 2026 Ofisi ya Kampuni ya Ndege Tanzania Makao Makuu (ATC House) – Posta, Dar es Salaam Tanzania kuanzia saa 2:00 asubuhi.
Pakua PDF hapa.
www.airtanzania.co.tz
Pakua PDF hapa.