TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BUNGE LA TANZANIA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BUNGE LA TANZANIA 06-11-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Aidha, Ibara ya 88 (1) ya Katiba inaunda Sekretarieti ya Bunge yenye jukumu la kuliwezesha Bunge kutekeleza majukumu yake. Kwa msingi huo, Katibu wa Bunge anatangaza nafasi za kazi 28 za Kada mbalimbali ili kuimarisha utendaji. Watanzania wote wenye sifa na uwezo wanaalikwa kutuma maombi yao ili kujaza nafasi za kazi zilizo ainishwa hapa chini.

Pakua PDF hapo chini.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BUNGE LA TANZANIA
 

Download PDF

Kuna mtu aliyefanikiwa kutuma maombi kwenye kada ya afisa usimamizi wa fedha daraja la II kwa nafasi za bunge
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom