Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi sita (06) za kazi katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:-
Pakua PDF hapa
Pakua PDF hapa