TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 01-06-2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 01-06-2025 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia barua yenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/A/25 ya tarehe 29 Aprili, 2025. Hivyo; anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi zifuatazo.

Tuma maombi hapa.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 01-06-2025
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom