TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA UKEREWE 23-05-2025 AJIRA PORTAL

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA UKEREWE 23-05-2025 AJIRA PORTAL UTUMISHI

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi ajira portal Kufuatia kutolewa kwa Kibali cha Ajira Mpya chenye Kumb Na. FA. 97/288/01/25 cha tarehe 29 April, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe anawatangazia nafasi ya kazi Watanzania wenye sifa na uwezo ya kujaza nafasi tisa (9).

Tuma maombi hapa.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA UKEREWE 23-05-2025 AJIRA PORTAL
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom