Hili haopa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Kituo cha Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Makumbusho ya Taifa ya Tanzania (NMT), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki na ari ya kufanya kazi kuomba kujaza nafasi 298 za ajira kama zilivyoainishwa hapa chini: -
Pakua PDF hapo chini.
Pakua PDF hapo chini.
Download PDF