TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI UMMA 09-09-2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI UMMA 09-09-2025 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili haopa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Kituo cha Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Makumbusho ya Taifa ya Tanzania (NMT), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki na ari ya kufanya kazi kuomba kujaza nafasi 298 za ajira kama zilivyoainishwa hapa chini: -

Pakua PDF hapo chini.
 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI UMMA 09-09-2025
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom