TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP

TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP 17-05-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kujitolea katika shule za msingi kwa kada ya elimu chini ta mradi wa GPE - TSP TAMISEMI leo

Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education Teacher
Support Programme – GPE - TSP) kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (OR – TAMISEMI) inatekeleza afua mbalimbali ikiwemo ya kuratibu
upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea (engagement of volunteer teachers). Mradi huu
unatangaza nafasi za kujitolea kwa walimu 694 wa Shule za Msingi watakaofanya
kazi chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa katika shule zenye uhitaji mkubwa zaidi
kwa kuzingatia utaratibu wa kupanga walimu wa Shule za Msingi ‘Primary Teacher
Allocation protocol (P – TAP)´ambao umeanishwa kwenye Andiko la Mradi huo wa
GPE – TSP.

Pakua PDF hapa
TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP
 
Back
Top Bottom