Technical Teachers Registration

Technical Teachers Registration NACTVET

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Sura ya 129, kifungu cha 5(1)(b) na marekebisho ya mwaka 2021 kifungu cha 24(1)(a), inalielekeza baraza kusajili walimu wa TVET na mafundi waliobobea. Kwa hiyo, walimu wa TVET na mafundi wanatakiwa kujisajili na kupata NACTVET Registration ID.

Maelekezo Muhimu:
  • Tafuta TRID (Teachers Registration Identification) kutoka kwa Afisa wa Udahili wa taasisi yako.
  • Kabla hujaanza kujisajili, hakikisha tayari umeshahudhuria mafunzo ya mtandaoni ya CBET. Kama bado hujahudhuria, bonyeza eLearning kuanza.
  • Hakikisha una nyaraka zote muhimu kama ilivyoelekezwa kwenye mwongozo wa usajili. Bonyeza hapa kupakua mwongozo wa usajili.
  • Kama una vyeti vya nje ya nchi, hakikisha vimehakikiwa – kwa wale wa ngazi ya chuo kikuu kupitia TCU, na kwa ngazi ya cheti au diploma kupitia NACTVET.
  • Bonyeza hapa au sehemu ya Registration hapo juu ili kuanza kujisajili.
TVET Teachers' Registration
 
Back
Top Bottom