Usaili Jeshi la Polisi Tanzania

Usaili Jeshi la Polisi Tanzania 23-04-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wananchi Forum, Hii hapa orodha kamili ya majina ya walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Polisi Tanzania leo iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE - RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28-4-2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11-5-2025 kote nchini. Kama ulituma maombi basi ni muda sahihi.

Angalia hapa orodha ya majina polisi,
Usaili Jeshi la Polisi Tanzania
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom