Walioitwa kazini Tamisemi PDF

Walioitwa kazini Tamisemi PDF 23-07-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Walioitwa kazini Tamisemi Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapendakuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika Programu ya Mpango waUwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania yaani Tanzania Maternaland Child Health Investment Program (TMCHIP) kwa nafasi mbalimbali za kada za afyawaliowasilisha maombi ya ajira katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024 kuwamchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombaji wotewaliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauri walizopangiwa. Ajira hizi ni zamkataba wa miaka miwili.

Pakua PDF hapa.
Walioitwa kazini Tamisemi PDF
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom