Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika anapenda kuwatangazia waliofanya Usaili tarehe 04-05.06.2025 kwamba waliofaulu usaili wanatakiwa kuripoti kazini siku ya Jumatatu tarehe 30.06.2025. Walioitwa waripoti kazini katika Makao Makuu ya Halmashauri yaliyopo katika Kijiji cha Majalila Kata ya Tongwe.
Pakua PDF hapa.
Pakua PDF hapa.
Nafasi za Kazi Uyui
26-06-2026
Walioitwa kwenye Usaili Wilaya ya Rombo
26-06-2026