Walioitwa kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) 13-07-2025

Walioitwa kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) 13-07-2025 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) anapenda kuwataarifuWaombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 19-07-2025 hadi26-08-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwawanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Pakua PDF hapa.
https://www.ajira.go.tz/baseattachm...51307321123call_for_interview_advert (11).pdf
Walioitwa kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) 13-07-2025
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom