Walioitwa kwenye Usaili Jiji la Mbeya

Walioitwa kwenye Usaili Jiji la Mbeya 09-05-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya anapenda kuwataarifu waombaji wote walioomba nafasi ya kazi ya Msaidizi wa Hesabu iliyotangazwa kupitia tangazo la tarehe 15/10/2024 lenye kumbukumbu namba Na. HB/145/03/14 kwamba usaili wa kuandika (Written interview), vitendo (Practical) na usaili wa ana kwa ana (Oral Interview) unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 15-16/05/2025 kama ifuatavyo:-

Kuitwa kwenye usaili Mbeya, Pakua PDF hapa.
Walioitwa kwenye Usaili Jiji la Mbeya
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom