Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Manispaa ya Bukoba

Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Manispaa ya Bukoba UCHAGUAZI MKUU 2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hii hapa orodha ya majina Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Manispaa ya Bukoba Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Bukoba Mjini anawatangazia waombaji nafasi za Wasimamizi wa Vituo vya Kupiga Kura, Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya kupigia Kura na Makarani Waongozaji Wapiga Kura kufika kwenye usaili tarehe 05/10/2025 katika Shule ya Sekondari Ihungo kuanzia saa 1:30 asubuhi.

Orodha ya wanaoitwa kwenye usaili imeambatanishwa na Tangazo hili.
Pakua PDF hapo chini.
Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Manispaa ya Bukoba

Zingatia tarehe ya usaili.
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom