Walioitwa kwenye Usaili Tume ya Mahakama

Walioitwa kwenye Usaili Tume ya Mahakama 13-07-2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Haya hapa majina ya walioitwa kwenye Usaili Tume ya Utumishi wa Mahakama Kufuatia tangazo la nafasi za ajira mpya zilizotangazwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama tarehe 03 Juni, 2025, napenda kuwafahamisha waombaji wa nafasi za kazi kwa kada mbalimbali kuwa, baada ya uchambuzi wa kina waombaji waliochaguliwa kuingia kwenye usaili wa hatua ya kwanza watasailiwa kwa nafasi hizo kwa tarehe, muda na vituo vilivyooneshwa kwenye orodha ya majina ya wasailiwa iliyoambatishwa na Tangazo hili. Inasisitizwa kwamba, kila msailiwa atafanya usaili kwenye kituo alichopangiwa na si vinginevyo.

Pakua PDF hapa
Walioitwa kwenye Usaili Tume ya Mahakama
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom