Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Bagamoyo Sugar 5Machi 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo.
Replies
0
Views
8K
Hili hapa Tangazo la nafasi za kazi Nafasi za kazi ACB Bank Tanzania lililo tangazwa siku ya jana kwa Direct sales agent 100 kwa watanzania wote,
Replies
0
Views
2K
Hili hapa tangazo la Nafasi za kazi Ecobank Tanzania Tunatafuta mtu mwenye shauku na uzoefu kuwa Mkuu wa Rasilimali Watu ili kuendesha mkakati wa HR na kuchangia ukuaji na ufanisi wa benki yetu...
Replies
0
Views
1K
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi KPMG Tanzania Februari 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo. Bonyeza...
Replies
0
Views
2K
Muktasari: Nafasi hizo ni za ajira kada mbalimbali huku mwisho wa kuomba ukiwa ni Februari 20, 2025 Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imetangaza nafasi 350 za...
Replies
8
Views
77K
Hivi hapa Viwango vya Mishahara ya Walimu na Nyongeza zao 2025-25 madaraja yote kuanzia cheti, diploma na degree utumishi serikalini.
Replies
2
Views
52K
Abbyfartoom
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi KNAUF Tanzania Februari 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo. Bonyeza...
Replies
1
Views
5K
kaisi ally
Haya hapa maswali ya Usaili mbalimbali kutoka BRAC Tanzania Finance kujiandaa na interview itakayo fanyika siku chache zijazo. Kama kuna makosa au unataka kuongezea maswali comment hapo chini au...
Replies
2
Views
10K
Haya hapa Maswali ya Usaili Airport Attendant TAA kutoka kwa mdau kama unajiandaa na interview ya utumishi/ajira portal.
Replies
0
Views
3K
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Moshi Jonathan Kabengwe, ametangaza kuwa matokeo ya usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30, 2025 kwa...
Replies
0
Views
3K
Back
Top Bottom