Habari Wakuu. Husika na Kichwa tajwa hapo juu. Nina maswali: Maswali ya Utumishi kwenye usaili wa mahojiano huwa mangapi...!? Na huwa kwa muda gani..!? Ahsante.
Habari zenu Wakuu...!! Husika na kichwa hapo juu. Katika kufuatilia matangazo mbalimbali ya kuitwa kwenye usaili, nimekutana na jambo fulani kidogo limenichanganya. Yafuatayo ni maswali niliyo...
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi, Kampuni ya Reveurse imetangaza ajira mpya kwa Watanzania wote. Ikiwa unatafuta fursa ya ajira, huu ni wakati wako wa kutuma maombi. Hakikisha unawasilisha...
Haya hapa Tumekuandalia Maswali ya Maswali ya usaili wa kuandika TRA, Yaani maltiple choice Questions Maswali zaid ya 45 kwenye kila kada zote zilizotangaza nafasi za kazi TRA Hatuja acha hata...
Haya hapa Maswali ya Usaili TRA na Material mbalimbali 2025 kujiandaa na interview kujaza ajira mpya zilizo tangazwa mwezi jana. Orodha na Matokeo ya waliio omba kazi nafasi za TRA na walioitwa...
Nafasi 77 Ajira Mpya Kampuni ya Sukari Kilombero (KSCL) ndiyo wazalishaji wakubwa wa sukari hapa nchini, ikijulikana zaidi kwa jina la chapa yake maarufu, "Bwana Sukari". KSCL ni sehemu ya kundi...
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana walioomba nafasi za kazi kwa upande wa Pemba katika Taasisi zifuatazo kuhudhuria katika usaili utakaofanyika katika Skuli ya Sekondari Fidel Castro...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuendesha uchaguzi wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na madiwani kwa Tanzania Bara, mwaka 2025. Katika kutekeleza jukumu hilo, Tume...
NMB Bank wametangaza nafasi za kazi mpya 6 kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo mapema kujaza ajira mpya zifuatazo kwenye PDF hapo chini.
Barrick Tanzania wametangaza nafasi za kazi mpya kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo mapema kujaza ajira mpya zifuatazo kwenye PDF hapo chini.