Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga

Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga UCHAGUAZI MKUU 2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hii hapa orodha ya majina Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga Kwa madhumuni ya uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mwanga anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili tarehe 04/10/2025 siku ya Ijumaa katika vituo vifuatavyo: Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi iliyopo katika Shule ya msingi Mwanga. Muda wa usaili ni kuanzia saa 01:30 asubuhi.

Pakua PDF hapo chini.
Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga

Zingatia tarehe ya usaili, pia unaweza changia mawazo yako hapa chini.
 

Download PDF

Hii hapa orodha ya majina Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga Kwa madhumuni ya uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mwanga anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili tarehe 04/10/2025 siku ya Ijumaa katika vituo vifuatavyo: Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi iliyopo katika Shule ya msingi Mwanga. Muda wa usaili ni kuanzia saa 01:30 asubuhi.

Pakua PDF hapo chini.
Walioitwa Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Wilaya ya Mwanga
MOROGORO MBONA HAIONEKANI
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom