Search results

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. S

    Namna yakujaza program ajira portal

    Ingia ajira portal kisha nenda academic qualification kisha institute chagua VETA program search laboratory assistant kama kwenye picha hii @JOHN20
  2. S

    Msaada utofauti wa majina

    Hapo nenda mahakamani kachukue affidavit mkuu. @DMI25
  3. Nilifuta CV yangu ya zamani na nimei update mpya Ina inagoma ajira portal

    Nilifuta CV yangu ya zamani na nimei update mpya Ina inagoma ajira portal

    Jaribu mara kwa mara itakubali @Mr.Salum
  4. S

    Afisa mlezi msaidizi II

    Habari, kwa sasa hatuna group hilo @Amina Danda
  5. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 22-03-2026

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 22-03-2026 AJIRA PORTAL

    Kwa niaba ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Watumishi Housing Investments (WHI), Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Iringa (IRUWASA), Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...
  6. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MDAs NA LGAs 22-03-2026

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MDAs NA LGAs 22-03-2026 AJIRA PORTAL

    Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 630 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili...
  7. S

    Trade officer questions for interview

    Yakipatikana yatawekwa hapa.
  8. S

    Group la Public administration halipo

    Pitia hapa https://wananchiforum.com/threads/maswali-ya-usaili-human-resources-hr-na-administration-2025-26.1450/ @felix9
  9. S

    Arsh

    Wewe jiandae tu sana mkuu @Obadia
  10. nilikuwa nauliza naombaje kazi kwenye hii post

    nilikuwa nauliza naombaje kazi kwenye hii post

    Tuma CV yako kwenda Email hiyo hapo @Donis Mkemwa
  11. S

    Maswali ya Economist na notes

    Haya hapa https://wananchiforum.com/threads/maswali-ya-usaili-economist-ii.3107/ @kekue
  12. Maswali ya Usaili Economist II

    Maswali ya Usaili Economist II 2026 Interview PDF

    Haya hapa maswali ya usaili Economist II yaliyofanyika leo kwenye interview utumishi. Kama una maswali mengine naomba ongezea hapo chini. Download PDF
  13. S

    Group la Public administration halipo

    Ingia kwenye HR and Administration @Veemiroyo
  14. Maswali ya usaili Customer Service Officer II

    Maswali ya usaili Customer Service Officer II Interview Questions

    Haya hapa Maswali ya usaili Customer Service Officer II. kama unayo unayajua ambayo yalisha ulizwa kwenye interview mbalimbali naomba nijibu hapo chini. Pakua PDF hapo chini.
  15. Maswali ya Usaili Accounting Officer

    Maswali ya Usaili Accounting Officer 16-03-2026

    Haya hapa Maswali ya Usaili wa Accounting Officer yaliyofanyika katika interview iliyopita kujaza nafasi za kazi zilizotangazwa na Taasisi mbalimbali katika tangazo la ajira mpya hizo. Pakua PDF hapo chini.
  16. S

    Maswali ya interview upande Wa HR OFFICER Na ADMINISTRATIVE

    Pitia hii mkuu https://wananchiforum.com/threads/maswali-ya-usaili-human-resources-hr-na-administration-2025-26.1450/ @Ntulimanase
  17. MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KISHIRIKI CHA ELIMU DAR ES SALAAM (DUCE) ULIOFANYIKA TAREHE 11/03/2026

    MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KISHIRIKI CHA ELIMU DAR ES SALAAM (DUCE) ULIOFANYIKA TAREHE 11/03/2026 AJIRA PORTAL

    Haya hapa matokeo ya usaili wa kuandika chuo shirikishi cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) Uliofanyika tarehe 11/03/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi...
  18. Maswali ya usaili Receptionist II

    Maswali ya usaili Receptionist II Interview Questions

    Naomba msaada wa Maswali ya usaili Receptionist II. kama unayo unayajua ambayo yalisha ulizwa kwenye interview mbalimbali naomba nijibu hapo chini.
  19. Maswali ya usaili Office Management Secretary II

    Maswali ya usaili Office Management Secretary II Interview Questions

    Naomba msaada wa Maswali ya usaili Office Management Secretary II. kama unayo unayajua ambayo yalisha ulizwa kwenye interview mbalimbali naomba nijibu hapo chini.
Back
Top Bottom