Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nawezaje kufungua account ya uhamiaji ili nitume maombi
Answers
2
Views
184
Nicas ngomangoma
Naomba kuungwa katika group la mambo ya usafirishaji.
Answers
1
Views
113
venant vedasto
Naomba kuungwa kwenye Whatsapp group la Demography/population. Kama hamna hilo group naomba niungwe kwenye group la statistics.
Answers
4
Views
226
Naomba kupata link ya kuomba ajira walizo tangaza jkt 2026 kwa urahisi
Answers
2
Views
147
Mashallah
Mbona mfumo unatulazimisha nitumie namba ya form four alafu form four nina 4 ya 26 wakati form six nina division one naomba msaada nitumie matokeo yangu ya form six
Answers
2
Views
132
Samahani, hivi kwa haraka haraka maswali ya written interview ya tra yanaweza kuwa ya kuchagua au kujieleza?
Answers
3
Views
372
Nasoma kozi ya shipping and port logistics management mwaka wa tatu,
Answers
1
Views
83
Naomben msaada wa maswali ya laboratory assistant
Answers
0
Views
41
Mwenye maswali ya mkaguzi daraja la II msaada ya NAOT
Answers
0
Views
87
Fortune
Kindly assist on the hints and NOTEs for CUSTOMER SERVICE likely questions for TANZANIA AIPORTS AUTHORITY?
Answers
2
Views
999
suzana kessy
Back
Top Bottom