Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Jamani samahanini nilikuwa nauliza Ajira ambazo wamesema watatoa probably wanaweza kuzitangaza lini jmn msaada
Kila nikijalibu kujisajili naambiwa account inactive Sasa naomba msaada nifanyaje
Je una chochote ambacho kama ushauri au kutupa idea kuelekea kwenye usahili huu
Wakuu kuna anaefahamu namna ya kuandika au kama una sample ya kuandika barua ya malalamiko tra naomba
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kigoma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Singida Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kagera Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Ruvuma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?