Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Ajira za kilimo wametusahau sana sisi tangu mwezi wa sita mwakajana
Answers
4
Views
165
mwakatz
JE MAOMBI KAMA HAYA YA KIPENGELE CHA NON SKILLED WORKERS YANATUMWAJE IKIWA HAUNA UJUZI WOWOTE ULE CV YAKO INAKUAJE NA UNAAMBATANISHA NINI NA NINI KATIKA ILI TANGAZO KWA YULE AMBAE HANA UJUZI...
Answers
1
Views
155
HIVI HUWA MNAPOST KAZI ZA WATU WALIOSOMEA FANI ZA UMEME KUTOKA VYUO VYA VYETA KWA NGAZI ZA LEVEL TWO AU THREE? NA KAMA HUWA MNAPOST JE HUWA MNAPOST ZA MASHIRIKA YA SERIKALI PIA AU BINAFSI TU? Kwa...
Answers
1
Views
95
Naomba kuuliza kuhusu swala la majina kwenye vyeti vyote natumia AMINA SAID ALLY lakini kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba ni SAID MAKATA ALLY mimi natumia jina la baba na la ukoo je hii...
Answers
1
Views
111
Naomba kuuliza jinsi ya ku attach vyeti na una attach kwa mpangilio upi na una attach kwenye cv au application letter?
Answers
1
Views
127
Habari I za wkati huu, Mimi ni researcher and consultant, naweza kuandika research proposal, business proposal, report, research papers n.k natafuta Kama Kuna sehemu au kampuni ya kazi hizi...
Answers
0
Views
180
Preacher
DTB Bank Tanzania imetangaza Nafasi za kazi kawa:- (Direct Sales Agent - Personal Loan)- agenti wa mauzo ya moja kwa moja - mkopo wa kibinafsi Awe na Diploma au Degree Tuma maombi kabla ya tarehe...
Answers
0
Views
866
Tintmon
MBEYA CEMENT Imetanagza Nafasi za Ajira kwa:- 1.(LEARNING AND DEVELOPMENT COORDINAT) Mratibu wa mafunzo na maendeleo 2.(MAINTENANCE INSPECTOR) Mtaalamu wa ukaguzi na matengenezo Awe na Degree au...
Answers
0
Views
979
Tintmon
Jamani samahani hivi online interview utumishi zinahitaji mtu ambaye anajua computer sana au hata kama unajua normal tu Ani sio sana mana nimeitwa interview utumishi usaili ni online sijawah...
Answers
4
Views
322
bathon
Kwan ukujiunga na mwananchi hakun charge
Answers
2
Views
149
Yassin
Back
Top Bottom