Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Me naomba kuuliza kama kuna link za magroup ya Whatsapp KADA a assistant accountant ii. Hatuwezi pata link tuka join tupate mawili matatu wengine ndo mala ya kwanza kuitwa.
Answers
0
Views
360
Fidelis mwageni
Naomba kupata maswali na majibu ya calculation ya custom officer
Answers
2
Views
714
Ms nancie
naomba notes za custom assistant
Answers
0
Views
268
kizzy
Jamani mwenye maswali au notice za warden
Answers
0
Views
306
FRAVIUS
Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Answers
1
Views
359
Kwenye mfumo wa ajira za polisi sioni sehemu yakuweka affidavity yangu maana Jina la vyeti na lanida yapo tofauti naomba mwenye kujua namna yakutatua changamoto hii
Answers
1
Views
285
Naomba kujua maswali yanayo ulizwa kwenye kada ya udereva upande wa written interview
Answers
1
Views
605
Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Answers
1
Views
619
mbona fani ya lishe sijaiona ko takuwa sina sifa ya kuomba?
Answers
1
Views
264
Yani hujapokea email ya TRA lakin jinaa limetokaa?
Answers
1
Views
420
Back
Top Bottom