Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏
Naomba kujua unavyojiunga na ajira portal pale kwenye education level vyeti vya kuambatanisha vinatakiwa kuwa original au copy ambazo zina muhuri wa mwanasheria?
Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Jamani samahanini nilikuwa nauliza Ajira ambazo wamesema watatoa probably wanaweza kuzitangaza lini jmn msaada
Kila nikijalibu kujisajili naambiwa account inactive Sasa naomba msaada nifanyaje
Je una chochote ambacho kama ushauri au kutupa idea kuelekea kwenye usahili huu
Wakuu kuna anaefahamu namna ya kuandika au kama una sample ya kuandika barua ya malalamiko tra naomba
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kigoma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Singida Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?